comparemela.com

Latest Breaking News On - Teachersa committee - Page 1 : comparemela.com

Waziri Ummy Mwalimu atoa siku 7 kwa vyombo vya usalama kuchunguza vifo vya wanafunzi watatu Mpwapwa

Waziri Ummy Mwalimu atoa siku 7 kwa vyombo vya usalama kuchunguza vifo vya wanafunzi watatu Mpwapwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu ametoa siku 7 kwa vyombo vya Ulinzi na Usalama kuchunguza vifo vya wanafunzi 3 waliofariki kwa kufunikwa na kifusi katika Shule ya Msingi Mbori, Kata ya Motondo Wilayani Mpwapwa. Wakati huo huo Mhe. Ummy amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kuwaondoa Walimu wote wa shule ya Msingi Mbori kupisha uchunguzi unaondelea. Waziri Ummy ametoa kauli hiyo wakati aliposhiriki kuaga Miili ya wanafunzi 3 waliofariki kwenye ajali ya kufukiwa na Mchanga katika shule ya Msingi Mbori tarehe 27.07.2021.

CBSE Class 10 board exam 2021 results: This is how class 10th marks will be evaluated Latest News and Updates | रिजल्ट के लिए 8 टीचर्स की कमेटी बनेगी; पिछले 3 साल के बेस्ट रिजल्ट के आधार पर मिलेंगे नंबर

CBSE Class 10 board exam 2021 results: This is how class 10th marks will be evaluated Latest News and Updates | रिजल्ट के लिए 8 टीचर्स की कमेटी बनेगी; पिछले 3 साल के बेस्ट रिजल्ट के आधार पर मिलेंगे नंबर
bhaskar.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from bhaskar.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.

© 2024 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.