Kumekucha Lemutuz Amwita Polepole MSALITI Kajitolea tu Kujilipua ila ana Viongozi Wengine wa CCM nyuma yake udakuspecially.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from udakuspecially.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.
Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) sasa wanakosoa hadharani baadhi ya kasoro na makosa yaliyokuwa yakifanywa na serikali wakati wa utawala wa Rais John Magufuli ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa chama tawala.
Siku 100 za Rais Samia Suluhu: Fahamu changamoto za Rais Samia katika kufanya mabadiliko ya kijinsia bbc.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from bbc.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.
Mabadiliko hayo yanafanana - kwa kiasi kikubwa, na yale aliyoyafanya kwenye Baraza la Mawaziri ambako kimsingi aliwahamisha tu kutoka wizara moja kwenda nyingine na hakuna waziri hata mmoja aliyeachwa na hayati Rais John Magufuli ambaye aliondolewa katika wadhifa wake.
Hayati John Magufuli asifiwa kwa kuiendeleza Tanzania hadi kuifikisha kuwa ya kipato cha kati bbc.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from bbc.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.