comparemela.com

Brussel Head News Today : Breaking News, Live Updates & Top Stories | Vimarsana

The Russel Head: Bizarre tale behind Aberdeen gargoyle sculpture

The Russel Head glares at passersby from Provost Skene's House in Aberdeen city centre. Its 19th century origins are suitably bizarre.

Gridwealth Expands POWWR Partnership by Launching Retail Energy Commission Software

Gridwealth Expands POWWR Partnership by Launching Retail Energy Commission Software
einnews.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from einnews.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.

People on the move: DHI Group, Relode, CrossMed Healthcare, Job&Talent, TechGenies

Nusu ya raia wa Ulaya wamepatiwa chanjo kamili ya Covid-19 | Matukio ya Kisiasa | DW

Nusu ya raia wa Ulaya wamepatiwa chanjo kamili ya Covid-19 Umoja wa Ulaya umesema zaidi ya nusu ya raia wake watu wazima wamepatiwa chanjo kamili ya Covid-19, wakati nchi barani humo na Asia zikiendelea kukabiliana na maambukizi mapya yanayochangiwa na kirusi cha Delta. Umoja wa Ulaya umesema watu milioni 200 wamepatiwa chanjo kamili, ikiwa ni nusu ya idadi ya watu wazima, lakini bado wameshindwa kufikia lengo la asilimia 70 hadi majira ya joto. Kansela Angela Merkel amesema visa vya maambukizi nchini Ujerumani vinapanda kwa kiasi kikubwa. Ujerumani inaungana na nchi nyingine za ulaya, ambazo zimeshuhudia ongezeko la maambukizi ya Covid-19 katika wiki za hivi karibuni yanayochangiwa na kirusi cha Delta kilichogunduliwa mara ya kwanza nchini India.

© 2025 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.