Ghasia zaendelea Afrika kusini
Shirikisha
Print
Maduka na maghala nchini Afrika kusini yameporwa Jumanne kwa siku ya tano mfululizo, licha ya hatua ya rais Cyril Ramaphosa kupeleka wanajeshi mitaani ili kuzima kudhibiti hali.
Ghasia tayari zimesababisha vifo vya watu 45. Wakati uporaji mkubwa ukifanyika kwenye mji mkuu wa kiuchumi wa Johannesburg pamoja na jimbo la kusini mashariki la KwaZulu Natal.
Mzozo umezuka kwenye uwanja wa kisiasa, ambapo wapinzani wakuu wa Afrika kusini wanawashtumu watu wenye msimamo mkali kwa kuchochea ghasia. Wanajeshi elfu 2,500 wamepelekwa kusaidia polisi, waliokua wamezidiwa.
Lakini idadi hiyo ni ndogo sana ikilinganishwa na zaidi ya wanajeshi elfu 70 waliopelekwa kwenye mitaa mwaka jana, ili kusaidia kuimarisha masharti makali ya kupambana na janga la corona.
Vurugu zaendelea Afrika Kusini baada ya kufungwa kwa Zuma | Matukio ya Afrika | DW
dw.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from dw.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.
Ghasia Afrika Kusini: Uporaji na vifo vyaongezeka katika purukushani zilizoanza kama maandamano ya kumuunga mkono Zuma
bbc.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from bbc.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.