Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 02.07.2021: Ramos, Rice, Kane, Coady, Calvert-Lewin, Rice, Bissouma
2 Julai 2021, 06:51 EAT
Paris St-Germain ipo katika mazungumzo yaliopiga hatua ili kumsajili beki wa Uhispania Sergio Ramos kupitia uhamisho wa bila malipo baada ya kandarasi ya mechezaji huyo mwenye umri wa miaka 35 kukamilika na klabu ya Real Madrid. (ESPN)
Manchester United inafikiria kumsaini mshambuliaji na wameafikia kumsajili mshambuliaji wa England na Everton Dominic Calvert-Lewin, 24, kama mchezaji wanayemtaka . (Sun)
Kiungo wa kati wa England Declan Rice 22, amekataa ofa mbili za kandarasi kutoka West Ham na anataka kuelezewa kuhusu ombi lolote kutoka kwa Chelsea , Manchester united na Manchester City (Guardian)
Mkufunzi mpya wa klabu ya Tottenham Hotspur Nuno Espirito Santo ameambiwa nahodha Harry Kane ,27, hatauzwa bila ya baraka zake , ijapokuwa mshambuliaji huyo wa England anatarajiwa kuelezea mpango wake wa kuondoka katika klabu hiyo.. (Telegraph - subscription requir
Personalwechsel bei Parsberger Polizei
mittelbayerische.de - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from mittelbayerische.de Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.
Janë të gjitha gënjeshtra , De Laurentiis: Ja kur e zgjedhim trajnerin e ri – Albeu com
albeu.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from albeu.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.
Schornstein gesprengt: Osmo-Turm fällt in acht Sekunden - Münster
muensterschezeitung.de - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from muensterschezeitung.de Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.