comparemela.com

Latest Breaking News On - Shabari - Page 9 : comparemela.com

Rais Biden ametia saini kuwa sheria siku ya kumalizika utumwa Marekani

Juneteenth National Independence Day itakuwa inaadhimishwa Juni 19 ya kila mwaka. Ni siku katika mwaka 1865 wakati wanajeshi wa muungano walipoliarifu kundi la watumwa weusi kwenye jimbo la Texas juu ya uhuru wao miaka miwili na nusu baada ya Rais Abraham Lincoln kutia saini tangazo la ukombozi

United-states
Americans
Shabari
Afrika
Amarekani
Bunia
Tanzania
Kenya
Uganda
Amhuri-ya-kidemokrasia-kongo
ஒன்றுபட்டது-மாநிலங்களில்

Naftali Bennett ameapishwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Israel

Naftali Bennett ameapishwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Israel 14 Juni, 2021 Shirikisha share Print Bennett atakuwa Waziri Mkuu kwa miaka miwili kwa mujibu wa makubaliano yasiyo ya kawaida ya kushirikiana madaraka miongoni mwa vyama vinane vya kisiasa vyenye mtizamo mdogo wa  pamoja isipokuwa kutaka kumaliza uongozi wenye mzozo wa Netanyahu Serikali mpya ya Israel iliapishwa Jumapili na kumaliza utawala wa miaka 12 wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na kumfanya Naftali Bennett, mkuu wa chama kidogo cha kidini kuwa kiongozi mpya wa taifa la wayahudi. Bennett atakuwa Waziri Mkuu kwa miaka miwili kwa mujibu wa makubaliano yasiyo ya kawaida ya kushirikiana madaraka miongoni mwa vyama vinane vya kisiasa vyenye mtizamo mdogo wa pamoja isipokuwa kutaka kumaliza uongozi wenye mzozo wa Netanyahu.

Prime-ministers-new
Government-new
Prime-ministers-netanyahu
Prime-ministers
New-march
Shabari
Afrika
Amarekani
Bunia
அரசு-புதியது
ப்ரைம்-அமைச்சர்கள்

Algeria kufanya uchaguzi wa bunge Jumamosi

Algeria inafanya uchaguzi wa bunge Jumamosi wakati vuguvugu la maandamano likisihi wapiga kura kususia huku kukiwa na wasi wasi kwamba taifa hilo la Afrika kaskazini linaweza kujikwamua kutoka kwenye janga la kisiasa na kiuchumi.

Algeria
Road-new-february
House-her
Shabari
Afrika
அல்ஜீரியா

Chad na CAR wanaziomba UN na AU kuchunguza tukio la vifo kwenye mpaka wa nchi hizo

Pande hizo mbili zinatambua uzito wa hali hiyo na zinasisitiza dharura ya kufafanua mazingira ambayo shambulizi hili lilifanyika, mawaziri wa mambo ya nje wa Chad na CAR walisema katika taarifa ya pamoja Jumanne jioni

Reuters
Shabari
Afrika
Amarekani
Bunia
Amhuri-ya-kidemokrasia-kongo
ராய்ட்டர்ஸ்
யூனியா

Michelle Bachelet: Mashambulizi ya anga ya Gaza yanaweza kuangaliwa kama uhalivu wa kivita

Bachelet alisema hayo wakati wa kikao maalum cha baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa kilichoombwa na Organisation of Islamic Conference, kundi la mataifa ya kiislam kutaka uchunguzi wa kimataifa ufanyike kuhusu masuala ya haki za binadamu huko Israel, Gaza na ukingo wa magharibi

Nationsa-organization
Office-her
Shabari
Afrika
Amarekani
Bunia
Kenya
அலுவலகம்-அவள்
யூனியா
ஏன்யா

© 2024 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.