comparemela.com

Latest Breaking News On - Manager ronald - Page 1 : comparemela.com

From the Times Files: Looking Backward

Girl scout camp staff on edge after Crawford quarry approval

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 05 07 2021: Pjanic, Umtiti, Ronaldo, Mendy, Ryan, Willock

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 05.07.2021: Insigne ,Pjanic, Umtiti, Ronaldo, Mendy, Ryan, Willock 5 Julai 2021, 06:50 EAT Imeboreshwa Saa 4 zilizopita Chanzo cha picha, Getty Images Tottenham na Barcelona zina hamu ya kumsajili nahodha wa klabu ya Napoli Lorenzo Insigne , ambaye amekuwa nyota wa Itali katika michuano ya Euro 2020 inayoendelea , huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 akiwa bado hajaongeza kandarasi yake inayokamilika 2022. (Corriere dello Sport - in Italian) Pjanic anahusishwa na uhamisho wa kuelekea Tottenham, ambao wanaotaka kumsaini kuwapiku Manchester United wanaomuhusudu kwa muda mrefu kiungo huyo. (Express) Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Cristiano Ronaldo Wakala wa Cristiano Ronaldo Jorge Mendes anafanyia kazi mpango wa kuongezwa kwa mkataba nyota huyo wa kusalia Juventus kwa mwaka mmoja zaidi utakaomfunga mshambuliaji huyo wa Ureno kuendelea kukipigia klabu hiyo ya Serie A mpaka mwaka 2023. Hivyo klabu ambazo zilikuwa zinamyatia

© 2025 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.