comparemela.com

Latest Breaking News On - Ita league maina quest - Page 1 : comparemela.com

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 23 07 2021: Kane, Mbappe, Pogba, Varane, Kessie, Hazard, Xhaka

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 23.07.2021: Jadon Sancho ,Kane, Mbappe, Pogba, Varane, Kessie, Hazard, Xhaka 23 Julai 2021, 06:45 EAT Chanzo cha picha, Getty Images Winga wa Uingereza Jadon Sancho anasema kujiunga na Manchester United ni ndoto inayotimia baada ya kumaliza uhamisho wake wa pauni milioni 73 kutoka Borussia Dortmund. Sancho ndiye mchezaji wa pili mwenye gharama ya juu zaidi wa England wakati wakati wote nyuma ya mwenzake mpya wa United Harry Maguire. Anajiunga na United kwa mkataba wa miaka mitano. Nitashukuru Dortmund kila mara kwa kunipa nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza, ingawa siku zote nilijua kwamba nitarudi England, Sancho, 21, alisema Nafasi ya kujiunga na Manchester United ni ndoto iliyotimia na siwezi kungojea kunawiri kwenye Ligi ya Premia.

© 2024 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.