comparemela.com

Degrees River News Today : Breaking News, Live Updates & Top Stories | Vimarsana

TARURA Wafunguka Ni Kweli Daraja la Mto Mngeta Limetumia Tsh Milioni 31

HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Wilaya ya Kilombero, Mhandisi Robert Magogo amesema ni kweli Daraja la Mto Mngeta limetumia Tsh. Milioni 31 - Mhandisi Magogo amesema daraja hilo lina uwezo wa kudumu kwa miaka 10 hadi 15. Daraja hilo lina urefu wa Mita 40, na kufanya gharama za Daraja kuwa Tsh. Milioni 27 - Pia, gharama ya barabara kuingia na kutoka Darajani ni Tsh. Milioni 4 na kufanya jumla yake iwe Tsh. Milioni 31 #JamiiForums

© 2025 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.