comparemela.com

Latest Breaking News On - Commissiona nationa election - Page 1 : comparemela.com

Unaambiwa Mbunge wa CCM aliyejiuzulu afunguka Makubwa

Mbunge aliyejiuzulu afunguka TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa Jimbo la Konde visiwani Zanzibar lipo wazi na taratibu za kujaza nafasi hiyo zitatangazwa hivi karibuni. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Dk Wilson Mahera kupitia taarifa yake kwa umma jana. Dk Mahera alisema NEC ilipokea barua kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikitaarifa kuwa, Mbunge Mteule wa Jimbo la Konde, Sheha Mpemba Faki, alikitaarifu chama hicho kuwa hayupo tayari kuwawakilisha wananchi wa Jimbo la Konde kutokana na changamoto za kifamilia. Alisema kutokana na hilo, NEC inautaarifu umma kuwa jimbo hilo lipo wazi na taratibu za kujaza nafasi hiyo zitatangazwa. “Tume ifanya hivyo kwa kuwa ilikuwa bado haijamjulisha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano kuhusu kukamilika kwa uchaguzi katika Jimbo la Konde na kuchaguliwa kwa Mbunge huyo Mteule. Pia Tume ilikuwa haijamtangaza kwenye Gazeti la Serikali kama ilivyoelekezwa katika Kifungu cha 81 (c) cha Sheria ya Taifa

Mbowe apigilia msumari wa mwisho sakata la Mdee na wenzake

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ) Taifa, Freeman Mbowe, amesema chama hicho hakitabadili msimamo wake wa kumfukuza Halima Mdee na wenzake 18.Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Mbowe ametoa msimamo huo jana tarehe 6 Julai 2021, katika ziara yake ya kikazi visiwani Pemba, Zanzibar. Ikiwa zimesalia siku kadhaa kwa Baraza Kuu la Chadema, kuketi kwa ajili ya kujadili maombi ya rufaa zao, wawaliyowasilisha kupinga uamuzi wa chama hicho kuwavua uanachama. Baraza hilo linatarajiwa kuitishwa Julai 2021. “Wanasema kwamba kile chama cha msimamo, sasa kwa sababu kuna wabunge 19 wa viti maalumu,  tubadilishe misimamo yetu ili wale kina mama wakawe wabunge, hapana.  Sio Chadema inayoongozwa na Mbowe,  nimekataa,” amesema Mbowe.

NEC yajibu vikwazo vya Marekani | Jisomee Habari za Udaku, Siasa, Mapenzi na Michezo

NEC yajibu vikwazo vya Marekani | Jisomee Habari za Udaku, Siasa, Mapenzi na Michezo
udakuspecially.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from udakuspecially.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.

Uchaguzi Uganda 2021: Upi mustakabali wa Bobi Wine baada ya kushindwa uchaguzi?

Uchaguzi Uganda 2021: Upi mustakabali wa Bobi Wine baada ya kushindwa uchaguzi?
bbc.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from bbc.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.

Uchaguzi Tanzania 2020: Uchaguzi ulioacha maswali mengi kuliko majibu

Uchaguzi Tanzania 2020: Uchaguzi ulioacha maswali mengi kuliko majibu
bbc.com - get the latest breaking news, showbiz & celebrity photos, sport news & rumours, viral videos and top stories from bbc.com Daily Mail and Mail on Sunday newspapers.

© 2025 Vimarsana

vimarsana © 2020. All Rights Reserved.