comparemela.com

Card image cap

Burundi imekuwa nchi ya kwanza kupeleka wanajeshi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia uamuzi wa hivi karibuni wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa kuanzisha kikosi cha pamoja dhidi ya waasi. Je, kikosi hicho ndio suluhu ya tatizo la ukosefu wa usalama mashariki mwa Kongo? Kwenye Kinagaubaga, Saleh Mwanamilongo amezungumza na Robert Seninga, Spika wa bunge la jimbo ya Kivu ya Kaskazini.

Related Keywords

Australia ,Congo ,The Congo , ,Communitya South ,South East ,

© 2024 Vimarsana

comparemela.com © 2020. All Rights Reserved.